CHADEMA WAMJIBU IGP SIRRO

Chama cha demokrasia na maendeleo chadema wamjibu mkuu wa polisi nchini IGP Simon sirro

chadema kupitia naibu katibu Salum mwalimu wamesema hawako tayari kukaa kimya kama jeshi la polisi lilivyo sema

salumu amesema harufu ya kuto heshimu katiba ilianza pale walipo kataza mikutano ya kisiasa nchini

amesema chadema ni chama kikuu cha upinzani na kazi yao kuu ni kukosoa na hawata acha kukosoa ingawa kuna vitisho vya hapa na pale

salum amesema kuhusu lissu pia ata ongea na wata ongea kwakuwa ni haki yao kikatiba kujadili hasa kuhusu tukio la ndugu yao ambae anatibiwa sasa yaani Tundu lissu

hatua hii imekuja baada ya IGP Simon sirro kupiga marufuku mijadara kuhusu tukio la kushambuliwa Tundu lissu

Post a Comment

Previous Post Next Post