Mbunge wa kigoma mjini zutto kabwe akamatwa na polisi
mbunge huyo amekamatwa kwenye uwanja wa ndege wa dar es salaam akitokea kugoma
mpaka sasa anashikiliwa na jeshi la polisi na mawakili wake wanaendelea na kufuatilia kujua ni nini chanzo cha kukamatwa kwake kwakuwa hakija fahamika chanzo
zitto kabwe alitakiwa kufika katika kamati ya bunge kujibu tuhuma zake baada ya kusema bunge limewekwa mfukoni katika kauli aliyo itoa kwenye mitandao ya kijamii huku ikiwa haija fahamika kama ndyo chanzo cha kukamatwa kwake
Tags
Siasa