WATOTO WATATU WAUAWA KWA BOMU ARUSHA

Jeshi la polisi mkoani Arusha lasibitisha kutokea kwa vifo vya watoto watatu baada ya kulipukiwa na pomu

tukio hilo limetokea katika wilaya ya monduli ambapo watoto watatu waliokuwa wakichunga ng'ombe kulipukiwa na bomu

watoto hao walikuwa wakichezea bomu hilo wakizani ni mpira wa miguu

jeshi la polisi limesema eneo hilo huwa linafanyiwa mazoezi na jeshi na wamehaidi kutoa taarifa kamili

Post a Comment

Previous Post Next Post