rubani afariki muda mfupi baada yakurusha ndege ya kampuni ya ETHIAD

Dereva wa kampuni ya ndege ya ETHIAD afariki akiwa angani muda mfupi baada ya kurusha ndege

rubani huyo alikuwa akiendesha ndege yenye namba EY297 mali ya kampuni ya ETHIAD 

rubani huyo alifariki muda mchache baada ya kuruka akielekea mjini Amsterdam hali iliyo mlazimu rubani wa akiba kutua nchini kuwaiti kwa dhalula

kampuni ya ETHIAD imesibitisha kutokea kwa kifo cha rubani wake pia imesema imeguswa na tukio hilo na watakuwa pamoja na familia katika kipindu hiki kigumu huku wakiwa hawaja taja jina la rubani huyo

ndege hiyo haikuwa na abilia bali ni ndege ya mizigo ilikuwa ikielekea mjini amsterdam

Post a Comment

Previous Post Next Post