
Mwanafunzi mmoja wa kike wa miaka 12 ajinyonga nchini India baada ya mwalimu kumtoa darasani
mwalimu aliamua kumtoa darasani binti huyo baada ya kumwona akiwa na doa la damu kwenye nguo yake
mwanafunzi huyo alipatwa na hedhi wakati akiwa darasani
nchini india swala la hedhi halisemwi hadharani na mwanafunzi au mwanamke akiwa muda wa hedhi huonekana ni mchafu
binti huyo kabla ya kujinyonga akaacha ujumbe kuwa amejiua kwakuwa mwalimu wake alimfukuza darasani kwaajili ya kuwa na doa la damu kwenye nguo yake
Tags
Kimataifa