
Serikali ya marekani yaonesha haina ya ukuta watakao jenga kujitenga na maexico
ukuta huo utao ziba mpaka wote wa USA na Mexico kuzuia wahamiaji haramu wanao ingia marekani
kujenga ukuta huu ni mpango wa kwanza wa raisi wa marekani wakati wa kampeni zake za uraisi
ujenzi huo utagharimu zaidi ya dolla milioni na makampuni kadhaa ya nchini marekani yamesha pewa dhabuni kujenga ukuta huo
ujenzi wa ukuta huo ni pilipili kwa baadhi ya raia wa nchi za amerika kusini ambao walitumia njia hiyo kuingia marekani na canada sasa itakuwa shida
Tags
Kimataifa