MTUHUMIWA WA KUTEKA WATOTO ARUSHA AUAWA NA POLISI BAADA YA KUJARIBU KUTOROKA

Kijana samsoni petro alie shikwa kwa tuhuma za kuwateka watoto mkoani arusha apigwa risasi wakati akijaribu kutoroka

kijana huyo wa miaka 18 alikamatwa mkoani geita alikojificha akiwa na mtoto ndani ya nyumba ya wageni


Post a Comment

Previous Post Next Post