katika mwendelezo wa madiwani wa chadema kuhama chama hicho na kujiunga na ccm hatimae jana diwani mwingine atangaza kuhama chadema.
ni diwani wa kata ya kimanduli mkoani arusha ambae alitangaza kuhama chadema na kujiunga na ccm
baada ya kupanda jukwaani diwami huyo alianza kwa kusema alikuwa hamwelewi.magufuri lakini sasa anamwelewa na ameamua kumuunga mkono katika kupambana kuleta maendeleo nchini
pia raisi magufuri alisema ameshangazwa na kitendo cha madiwani hao kuacha maslai yote na kuhama chama na kujiunga nao
pia magufuri ameitaka.ccm kuwapa nafasi madiwani hao kugombea dhidi ya vyama vingine kwenye uchaguzi ujao
hatua ya kuhama kwa madiwani hawa ni kama pigo kwa chadema lakini wao wamejinasibu kwa kusema kuwa hawa athili jambo lolote kwenye chama