BASI LA KAMPINI YA TASHRIFF LAWAKA MOTO LIKITOKEA TANGA KWENDA DAR

Basi la kampuni ya Tashriff lateketea kwa moto maeneo ya pongine nje kidogo ya mji wa tanga

gari hilo lilikuwa likiendeshwa na Hemed ally miaka.35 lilikuwa na abilia 29 likitokea tanga kwenda mkoani dar es salaam

kwa mujibu wa mashuhuda gari hilo lilianza kutoa moshi sehemu za kuifadhia mizigo hatua iliyopelekea watu kumshitua dereva na hatimae akasimamisha

hakuna taarifa za kifo ama mtu aliye jeruhiwa kutokana na ajari hiyo na jeshi la polisi limeanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha moto huo.

Post a Comment

Previous Post Next Post