Watu wapatao kumi na wawili wamefariki na wengine 30 kujeruhiwa vibaya baada ya daraja moja kuporomoka karibu na kituo cha treni.mjini mumbai
watu hao walikuwa wanajificha mvua chini na juu ya daraja wakati mvua kubwa ikiwa ina nyesha wakati huo
baadhi ya mashuhuda wamesema kuporomoka kwa dalaja hilo kitokana na idadi ya watu kuwa kubwa waliokuwa wakijificha mvua kwa wakati huo
halmashauri ya mji wa mumbai liliko tokea tatizo hilo wamekili kutokea kwa tukio hilo na wamehaidi kufanyia uchunguzi tukio hilo lililo poteza uhai wa watu 12
watu hao walikuwa wanajificha mvua chini na juu ya daraja wakati mvua kubwa ikiwa ina nyesha wakati huo
baadhi ya mashuhuda wamesema kuporomoka kwa dalaja hilo kitokana na idadi ya watu kuwa kubwa waliokuwa wakijificha mvua kwa wakati huo
halmashauri ya mji wa mumbai liliko tokea tatizo hilo wamekili kutokea kwa tukio hilo na wamehaidi kufanyia uchunguzi tukio hilo lililo poteza uhai wa watu 12
Tags
Kimataifa