POLISI WATUMIA MABOMU KUMKAMATA MWENYEKITI WA KIJIJI



Jeshi la polisi wilayani sengerema latumia mabomu ya machozi kumkamata mwenyekiti wa kijiji

polisi hao walienda kwenye kijiji cha mwabasati wilayani sengerema ambapo mwenyekiti wa kijiji (chadema) Boniface kadinda akiwa kwenye mkutano na kusema mkutano huo ni batili

baada ya polisi kutaka kumkamata  ndipo wanakijiji hao wakakataza polisi wasimkamate mwenyekiti huyo

baada ya kutokea kwa mvutano mkubwa ndipo polisi wakaamua kutumia mabomu kuwa tawanya wananchi hao

mwenyekiti huyo alikuwa akiongea na wananchi wake wakijadili kuhusu afisa mtendaji alie hamishwa kuwa amekura pesa za kijiji

mwenyekiti huyo alisema haiwezekani kijiji hicho kikawa pango la wezi wakula pesa za wananchi kila mara bila kuchukuliwa hatua

katikati ya mkutano ndipo polisi wakafika na kusitisha kikao hicho hatua iliyozua vurugu


Post a Comment

Previous Post Next Post