BREAKINGNEWZ:KENYATA ATANGAZWA MSHINDI URAISI KENYA



Tume ya uchaguzi yamtangaza Uhuru kenyatta kuwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya

Kenyatta amemshinda mpinzani wake wa karibu Raila odinga  ambae alikuwa akiungwa mkono na umoja wa upinzani ulioitwa NASA

kenyatta anaingia tena kwenye kiti cha uraisi kwa mala ya pili baada ya kushinda mala ya kwanza


Post a Comment

Previous Post Next Post