WATU WAWILI WAFARIKI WILAYANI ROMBO WAKATI WAKIBATIZWA MTONI



Watu wawili wafatiki wakati wakibatizwa mtoni

watu wawili wafariki wakati wakibatizwa katika mto Ungwasi wilayani rombo mkoani kilimanjaro

watu hao waumini wa kanisa la siloam walienda mtoni kubatizwa wakati wakibatizwa ghafla mmoja wao akapandisha mapepo ambo aliwakandamiza waliokuwa wakibatizwa mtoni kwenye maji hali iliyopelekea wapoteze maisha

mkuu wa wilaya ya rombo amesibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo lilitokea wakati huduma ya ubatizaji ikiendelea katika mto huo ambao una kina kimefu

mpaka sasa mchungaji wa kanisa hilo anashikiliwa na polisi huku uchunguzi ukiendelea


Post a Comment

Previous Post Next Post