NYANI AKATA UMEME NA KUSABABISHA WATU 50000 KUKOSA UMEME



Nchini zambia nyani aleta kizazaa baada ya kukata umeme kwenye kituo cha kusambaza umeme

tukio hilo limetokea katika mji wa livingstone kusini mwa nchi hiyo ambapo nyani huyo alitoloka polini na kuja kukata umeme

wafanyakazi wa shilika la umeme wamesema nyani huyo aliingia katika eneo lao na kisha kuvuruga kila kitu

nyani huyo baada ya kufanya uharibifu huo alisababisha kukatika kwa umeme kwa nyumba zaidi ya 50000 ndani ya masaa sita

pia nyani huyo alijeruhiwa vibaya na umeme na kwasababu za kimaumbile aliweza kunusulika kifo kama angekuwa binadamu angefariki kutokana na majeraha makubwa

mkuu wa kitengo hicho amewaomba msamaha wateja wote waliokosa umeme na hasara waliyo ipata


Post a Comment

Previous Post Next Post