Wabunge wa chadema waliokuwa wanashikiliwa na polisi wameachiwa kwa dhamana baada ya kutolea maelezo
kiongozi wa ukawa bungeni mbaita alisema wabunge hao walikamatwa kwa kwa kosa la kumfanyia fujo mbunge mwenzao Juliana shonza
aliwataja wabunge ambao walikamatwa ni pamoja na said kubenea mbunge wa ubungo Paulin gekul mbunge wa babati mjini Frank mwakajoka mbunge wa tunduma Joseph selestine mbunge wa rombo na Cecilia pareso mbunge wa vitimaalum
mbatia anasema kukamatwa kwao kulikuja baada ya mbunge huyo wa ccm kushitaki kwa spika kuwa wabunge hao wamemfanyia fujo
mpaka sasa wabunge hao wapo nje kwa dhamana huku uchunguzi zaidi uliendelea kubaini ukweli wa jambo hili
kiongozi wa ukawa bungeni mbaita alisema wabunge hao walikamatwa kwa kwa kosa la kumfanyia fujo mbunge mwenzao Juliana shonza
aliwataja wabunge ambao walikamatwa ni pamoja na said kubenea mbunge wa ubungo Paulin gekul mbunge wa babati mjini Frank mwakajoka mbunge wa tunduma Joseph selestine mbunge wa rombo na Cecilia pareso mbunge wa vitimaalum
mbatia anasema kukamatwa kwao kulikuja baada ya mbunge huyo wa ccm kushitaki kwa spika kuwa wabunge hao wamemfanyia fujo
mpaka sasa wabunge hao wapo nje kwa dhamana huku uchunguzi zaidi uliendelea kubaini ukweli wa jambo hili
Tags
Kitaifa
