TUNDU LISU AKAMATWA NA POLISI



Mwanasheria mkuu wa chadema tundu lisu akamatwa na polisi

Tundu lisu amekamatwa leo katika uwanja wa ndege mjini dar es salaam wakati akijiandaa kusafiri kuelekea kigali

mkuu wa kitengo cha usalama uwanja wa ndege wa JK amesema lisu amekatwa  na watu walio jitambulisha kuwa ni maafisa wa polisi kutoka  kanda maalumu ya dar es salaam

mpaka sasa chanzo cha kukamatwa kwake hakija elezwa ni nini


Post a Comment

Previous Post Next Post