NDEGE KASUKU ATOA USHAHIDI ULIO MHUKUMU MWANAMKE NCHINI MAREKANI



Nchini marekani mwanamke mmoja apatikana na hatia ya mauaji baada ya ndege kasuku kusibitisha

mwanamke huyo pichani alimpiga risasi tano mume wake hatua iliyopelekea kifo chake mwaka.2005

kasuku huyo alitoa maneno yaliyo tolewa mala ya mwisho na marehemu kuwa "usinipige risasi" ambapo maneno hayo yakitamkwa na kasuku huyu aliye shuhudia tukio

mwanamke huyo alimuua mume wake na yeye alijaribu kujiua lakini hakufanikisha azma yake ambapo hakimu amesema atatoa maamuzi siku chache zijazo


Post a Comment

Previous Post Next Post