SUMAYE AIGOMEA SERIKALI ASEMA HAWATO KAA KIMYA



Aliyekuwa wazili mkuu mstaafu fredrick sumaye asema hawato kaa kimya huku demomokrasia ikikandamizwa

sumaye ambae alihama ccm na kuingia chadema amesema hawato kaa kimya ingawa serikali inasema saizi siyo muda wa siasa lakini watapaza sauti

Sumaye anasema wakikaa kimya mpaka 2018 hakutakuwa na mtaa wenye shina la chadema ndani ya tanzania hii kwakuwa kila kukicha demokrasia inazidi kukandamizwa hawatakubari

amesema kila kukicha viongozi wa upinzani wanakamatwa bila ya makosa ya msingi huu ni mpango wa kuuzoofisha upinzani huku wakitumia pesa kuwanunua wale wasio na uzarendo


Post a Comment

Previous Post Next Post