QATAR YAPEWA MASAA 48 KUKIDHI MASHART

Umoja wa nchi zs falme za kiarabu zilifikia maamuzi ya kuiwekea vikwazo nchi ya Qatar waliituhumu kudhamini ugaidi

katika tuhuma hizo nchi hiyo ili shutumiwa kuwa mzamini wa wanamgambo wa imani kali wa Islamic state hatua iliyopingwa na Qatar

umoja huo uliiwekea vikwazo nchi hiyo ikiwemo kusitisha safari za mdege na ushilikiano wa kibiashara hatua iliyo pelekea kutokea kwa upungufu wa chakura nchini Qatar

miongoni mwa vikwazo ilikuwa ni pamoja na kukifunga kituo cha utangazaji cha Aljazeera nchini uturuki hatua iliyo wapa wakati mgumu Qatar kuamua kama itafunga au laa

baada ya muda wa awali kumalizika jana chi hizo za kiarabu zime mwongezea Qatar masaa 48 ili imalizia kirekebisha mashart waliyopewa

Qatar imesema itatoa taarifa kwa barua kuhusu maamuzi waliyofikia huku wakilalamika kuwa wamepewa mashart magumu huku wao hawazamini aina yoyote ya ugaidi.


Post a Comment

Previous Post Next Post