POLISI YAWAUA MAJAMBAZI SITA MWANZA



Polisi mkoani mwanza imewaua majambazi sita jana usiku

akiongea na wanahabari mkuu wa polisi mwanza alisema askari wake waliwauwa watu sita baada ya kuizingira nyumba waliyokuwa wakiishi

baada ya kuizingila walianza kurushiana risasi na hao watu kuanzia usiku mpaka halfajili

baada ya mapambano makari ndipo wakafanikiwa kuwauwa majambazi hao na kupata siraha za kivita walizokuwa wakizitumia

pia kamanda wa polisi alisema atatoa taarifa baadae kwakuwa wanaendelea kukusanya taarifa zaidi

lakini baada ya polisi kuondika wananchi wenye hasira waliiteketeza kwa moto nyumba ambayo watu hao walikutwa


Post a Comment

Previous Post Next Post