
Polisi wilayani tarime inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumkata mkono askari polisi
tukio hilo limetokea katika mtaa wa nkende mjini tarime ambapo mtuhumiwa michael na mwenzake walimkata mkono James mnuve miaka 50 ambae ni polisi nchini kenya
mkuu wa polisi alisibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo chanzo kilikuwa ni michael omahe ambae alienda nchini kenya na kumtorosha mwanamke anae itwa Anne njeri ambae ni mke wa polisi huyo na kuja nae tanzania
baada ya kutoroshwa james ambae ni polisi aliamua kumfuata na alipofika tarime akamkuta anaishi na michael omahe. Baada ya kumkuta akaamua kumchukua ndipo ugomvi ukazuka na wakaanza kupambana michael akisaidiwa na rafiki yake wakafanikiwa kumkata mkono polisi huyo
polisi inawashikilia watuhumiwa wote wawili ili taratibu za kisheria zichukuliwe dhidi yao
Tags
Kitaifa