MTU MMOJA AUAWA TENA KIBITI



Usiku wa kuamkia leo juma mosi mtu mmoja ameuawa tena kibiti

tukio hilo limetokea katika kijiji nyambwanda wilayani kibiti ambapo  bwana Hamis ndikanye miaka 54 ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo

ndugu wa marehemu anasema walikuja watu watano wakiwa na bunduki wakamfunga kitambaa usoni mke wa marehemu na kisha kumpiga riaasi marehemu Hamis

kwa mujibu wa mganga wa kituo cha afya kibiti alisema kuwa marehemu amepigwa risasi mbili moja kichwani na nyingine mgongoni

mpaka sasa watuhumiwa hawajajulikana na jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi


Post a Comment

Previous Post Next Post