GHANA YARUSHA SATELITI YA KWANZA ANGANI



Nchi ya Ghana yapiga atua kubwa katika tekenolojia baada ya kurusha satelite yake ya kwanza kwenye anga za mbali

satelite hiyo imerushwa nchini Ghana na kwenda angani kwaajili ya kuchora ramani na kufanya uchunguzi

uundwaji wa hiyo satelite umefanywa nchini Ghana na wanafunzi pamoja na waandisi ambao idadi yao imefika 400

wakati wa urushwaji kulikuwa na furaha kubwa kwakuwa wanefanya jambo kubwa katika tekenolojia ya anga za mbali kama zifanyavyo nchi zingine dunian


Post a Comment

Previous Post Next Post