Wapiganaji wa kikundi cha kigaidi cha Alshabab wamewaua raia 9 kwenye mpaka wa somaria na kenya
kwa mujibu wa mashuhuda alishabab walivamia katika mji wa mandera uliopo mpakani nakuwashambulia watu
wengine waliuawa kwa risasi juku wengine wakiuawa kwa mapanga baada ya Alshabaab kuvamia mji hui
mji wa mandera umekuwa ukipokea mashambulizi mengi kutoka kwa wanamgambo hao wa kiislam hushambukia polisi askari jeshi na hata raia kama walivyo fanya leo
kwa mujibu wa mashuhuda alishabab walivamia katika mji wa mandera uliopo mpakani nakuwashambulia watu
wengine waliuawa kwa risasi juku wengine wakiuawa kwa mapanga baada ya Alshabaab kuvamia mji hui
mji wa mandera umekuwa ukipokea mashambulizi mengi kutoka kwa wanamgambo hao wa kiislam hushambukia polisi askari jeshi na hata raia kama walivyo fanya leo
Tags
Kimataifa
