Binti wa miaka kumi afatiki baafa ya kukutafunwa na simba nchini zimbabwe
tukio hilo limetokea katika mji uliopo mpakani na afrika ya kusini baada ya binti huyo kutoka usiku kujisaidia
kwa mujibu wa mama wa mtoto huyo alisema binti huyo alienda msalani lakini hakurudi baada ya kupita muda alienda kumtafuta lakini hakumpata
baada ya kumtafuta saana waliukuta mwili wake umbali wa mita 3000 kutoka nyumbani kwao ambako alikuwa akiishi na familia
matukio kama hayo ni ya kila mala nchini zimbabwe watu kuliwa na wanyama wakali kama simba
tukio hilo limetokea katika mji uliopo mpakani na afrika ya kusini baada ya binti huyo kutoka usiku kujisaidia
kwa mujibu wa mama wa mtoto huyo alisema binti huyo alienda msalani lakini hakurudi baada ya kupita muda alienda kumtafuta lakini hakumpata
baada ya kumtafuta saana waliukuta mwili wake umbali wa mita 3000 kutoka nyumbani kwao ambako alikuwa akiishi na familia
matukio kama hayo ni ya kila mala nchini zimbabwe watu kuliwa na wanyama wakali kama simba
Tags
Kimataifa
