MKUU WA POLISI BARABARANI ATUMBULIWA



Naibu waziri wa mambo ya ndani Hamad masauni ameagiza RTO wa mkoa wa pwani kutumbuliwa

hatua hii imekuja baada ya naibu huyo kufanya ziara ya kushtukiza kwenye kituo cha mabasi cha kibaha mkoani pwani

amesema amebaini uzembe mkubwa katika ukaguzi katika kituo hicho cha mabasi kibaha mkoani pwani

amesema alishawai kuja na akamwonya na kumtaka awajibike na alihaidi kurekebisha kasoro zote kwa haraka lakini hajafanya hivyo

naibu waziri ameagiza RTO huyo kuadhibiwa na kutolewa kwenye nafasi yake kwakuwa ameweka mchezo kwenyeu uhai wa watu ivyo nafasi hiyo haimfai kwakuwa amekuwa mzembe


Post a Comment

Previous Post Next Post