MGANGA WA KIENYEJI AUAWA KWA KUCHOMWA MKUKI



Mganga wa kienyeji aliye tambulika kwa jina la kanjaranga ameuawa kwa kuchomwa mkuki wilayani Nkasi mkoani rukwa

mganga huyo alikuwa akituhumiwa kwa muda mrefu kuwa alikuwa akiwadanganya wateja wake

amekuwa akitoa tiba na mazindiko lakini watu walikuwa hawapati matokeo waliyo yatarajia kutoka kwa mganga huyo wa kienyeji

baada ya kulalamikiwa sana  ndipo  juzi amekutwa amefariki na alipo kaguliwa akakutwa amechomwa mkuki

mpaka sasa polisi  wamesibitisha kutokea kwa tukio hilo na wanaendelea kumtafuta aliye fanya tukio hilo


Post a Comment

Previous Post Next Post