LUKAKU AKAMATWA NA POLISI MAREKANI



Mchezaji anae husishwa na dili la kujiunga na manchester united Romeu lukaku akamatwa na polisi nchini marekani

chanzo cha kukamatwa kinasema kuwa lukaku alikuwa akiwapigia kelele majirani zake katika nyumba aliyo kodi nchini marekani

polisi inasema ilipokea simu kuhusu lukaku kuwabuguzi majirani na wakaja mpaka anapoishi wakamwonya mara tano lakini hakusikia

baada ya kukaidi polisi wakaamua kumkamata na atapandishwa mahakamani kujibu mashitaka yake ya kufanya fujo na uchafuzi wa sauti

nchini marekani na sehemu nyingi ulaya mtu anaweza kupiga simu kuwa unampigia kelele na ukawa na kesi ya kujibu

pia lukaku yupo kwenye mpango wa kuhamia man united akitokea everton huku timu yake ya zamani ya chelsea ikiwa inamwania tena


Post a Comment

Previous Post Next Post