AHUKUMIWA MIAKA 3 JELA BAADA YA KUKUTWA NA VIKOMBE VYENYE PICHA YA ALDORF HILTER



Mwanaume mmoja nchini ujerumani afungwa jela miaka mitatu baada ya kukutwa na vikombe vyenye picha ya Aldorf hilter

mwanaume huyo wa miaka 39.alikutwa na vikombe vya kahawa vyenye picha ya aldorf hilter akijaribu kupanda ndege

baada ya kukutwa na vikombe hivyo alihukumiwa miaka mitatu jeta kutokana na kosa hilo nchini ujerumsni

kwa kawaida ukikutwa na vifaa au kitu chochote kiashilia cha kuiunga mkono nazi una hukumiwa jela miaka mitatu kwa mujibu wa sheria za ujerumani


Post a Comment

Previous Post Next Post