
Mwanamuziki kutoka nchini marekani justin biber apigwa marufuku kupiga show nchini uchina
hatua hii imetangazwa na serikali ya nchi hiyi kwakuwa msaanii huyo ni mwenye fujo kila mara hivyo hawa mruhusu kuja kufanya show nchini china
biber alishawai fika china na kufanya onesho ambapo baadae alionekana kwenye madhabau nchini humo akijichukua video hatua iliyo wakera wachina na kuamua kuwa asije tena
msanii huyo saivi yupo kwenye tour nchi za ASIA lakini hata fika china kwakuwa amesha pigwa marufuku kutokana na utovu wake wa nidhamu
Tags
Entertaiment