BINTI WA MIAKA 16 RAIA WA UJERUMANI ALIYE JIUNGA NA ISLAMIC STATE AKAMATWA



Vita ya kupambana na wanamgambo wa islamic state bado inaendelea nchini syria

katika mapigano hayo vikosi vya serikali pamoja na vya marekani vimefanikiwa kumtia nguvuni binti wa miaka kumi na sita raia wa ujeruman

mpaka sasa uchunguzi unaendelea kubaini kama binti huyo ni yule aliye sadikika kupotea au huyu ni mwingine

pia katika kamatakamata raia wengine wamekamatwa wakiwemo raia wa urusi,uturuki na.canada ambao walikuwa wakipigana upande wa islamic state

mpaka sasa vita hivyo vimeua watu zaidi ya milion 5 tangu vilipo anza huku uharibifu mkubwa wa mali ukifanyika nchini humo na raia wengi kukimbia makazi yao


Post a Comment

Previous Post Next Post