BIBI WA MIAKA 86 APANDISHWA KIZIMBANI KWA WIZI WA DHAHABU



Bibi wa miaka.86 apandishwa kizimbani baada ya kuiba katika duka la vito nchini marekani

bibi huyo anae itwa Doris.payne alikamatwa baada ya kuiba katika duka moja kwenye mji wa Chemble nchini marekani

baada ya kupandishwa kizimbani akaachiwa kwa dhamana ambapo aliiba cheni yenye thamani ya dola 80

bibi huyo anafahamika kwa wizi na alisha wai fungwa miaka kadhaa kwa makosa ya wizi nchini marekani na pia alishawai fungwa kifungo cha ndani baada ya kufanya kosa lifananalo na hili

yeye mwenyewe alisema anaiba kwakuwa maisha magumu anaitaji dawa na chakura kila siku huku akiwa hana msaada


Post a Comment

Previous Post Next Post