MIILI YA WATU WAWILI WALIOKUFA MWAKA 1942 YAKUTWA KWENYE BARAFU IKIWA HAIJAOZA



Kuyeyuka kwa barafu kumepelekea kugundulika kwa miili ya watu wawili walio potea mwaka 1942

wawili hao mtu na mke wake walikuwa wakiishi uswis na walipotea mwaka 1942 wakati walipoenda kuchunga ng'ombe hawakurudi

chaajabu miili hiyo haijaoza mpaka sasa na imetambuliwa kuwa ni mtu na mke wake huku mtoto wao mwenye miaka 79 sasa aliitambua miili hiyo

walipotea muda mrefu familia ilijua wameuawa pengine na wanyama lakini hatimae leo miili imeonekana na kuzikwa


Post a Comment

Previous Post Next Post