UINGEREZA YATOLEWA U21

Timu ya vijana ya uingereza chini ya miaka mitano yatolewa na kushindwa kutinga fainali ya michuano hiyo

uingereza imetolewa kwa mikwaju ya penalt dhidi ya ujerumani ambapo katika mechi hiyo uingereza ikaanza kuongoza baadae ujeruman waka sawazisha

katika mikwaju ya penati uingereza ilifungwa 3-4 na ujerumani kuja kukutana na uispania ambayo imeifunga italia


Post a Comment

Previous Post Next Post