PINDA ACHUKIZWA NA JINA LA ZUZU

Admin
By -
0

Waziri mkuu mstaafu mizengo pinda achulizwa na jina la zuzu ambalo ni jina la kijiji anacho ishi sasa

mizengo pinda alisema jina hilo siyo zuli ukizingatia watu wa kijiji hicho  siyo mazuzu wanajielewa na wanafanya kazi kwa bidii tofauti na jina hilo

mizengo pinda aliomba jina hilo libadilishwe na kuitwe zinje kwa kuwa jina la sasa halina maana nzuri

mizengo pinda aliomba hayo wakati wa mbio za mwenge kijijini hapo ambapo akipewa cheti cha uchapakazi baada ya kuonesha kazi zake nzuli katika kilimo

mizengo pinda anaishi kijijina hapo akilima na pia anafanya ufugaji ambapo huwa analima nyanya,zabibu na mazao mengine

pia kiongozi wa mwenge amewataka wananchi waende kwa mizengo pinda wakajifunze aina nzuri ya ukulima kama anayo ifanya waziri mkuu mstaafu shambani kwake hapo

pia mizengo pinda amewataka wananchi kufanya kilimo cha kisasa kwa kuwa kinafaida na kilaleta pesa kama ambavyo yeye anavyo fanya


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)