MAROLI 103 YA MAHINDI YAKAMATWA

Maroli 103 ya mahindi yakamatwa kilimanjaro yakiwa mbioni kuelekea nchi jiarani ya kenya

mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Anna mghwira amesema wameyakamata kufuatia  agizo la waziri mkuu la kupiga marufuku uuzwaji mahindi nje ya tanzania mpaka serilali itakapo ruhusu

hatua ya kuzuia uuzwaji wa mahindi unakuja baaada ya kushuhudiwa uchache wa mvua wakati wa kifuku hali iliyopelekea baadhi ya maeneo nchini kuwa na uhaba wa chakura hasa mahindi

pia serikali imesema yoyote atakae kaidi agizo hili na akasafirisha mahindi atakuwa amejiingiza katika matatizo yeye mwenyewe na sheria itachukuwa mkondo wake


Post a Comment

Previous Post Next Post