MAJALIWA APIGA MARUFUKU UUZAJI WA MAHINDI

Admin
By -
0

Waziri mkuu khasim majaliwa amesema ni marufuku kwa wafanya biashara kuuza mahindi nje ya nchi

majaliwa ameyasema hayo leo katika ibada ya iddi ambapo amesema kuna maeneo nchini hayakupata mvua vizuri hiyo yanaitaji kiasu kikubwa cha mahindi

pia amesema kuna baadhi ya nchi zimetuma barua kuomba kuuziwa mahindi lakini serikali bado haijajibu kwa kuwa nchi bado una uhitaji wa chakula cha kutosha kutokana na mvua kuwa chache baadhi ya maeneo wakati wa kifuku

pia waziri mkuu amesema hakuna aliyepewa kibari cha kuuza mahindi nje ya nchi kwa sasa na atakae bainika atachukuliwa sheria ili iwe fundisho kwa wengine kwa kuwa nchi bado haija jitoshereza kwa chakula

msimu wa mvua uliopita baadhi ya maeneo nchini yalikumbwa na uhaba wa mvua hali inayo pelekea serikali kupiga marufuku uuzwaji wa chakura hususani mahindi nje ya mipaka ya tanzania


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)