AMUUA MUME WAKE WAKIFANYA UTANI

Mwanamke mmoja nchini marekani amepandishwa kizimbani baada ya kumuua mume wake wakati wakifanya utani

wawil hao wana mtoto mmoja walikuwa wanapendana saana na walikuwa wakifanya utani kila mara ila mara hii imekuwa ni bahati mbaya kwao

akiongea na polisi mwanamke huyo alisema waliamua kufanya vile ili wajiongezee umaarufu kunako yutube lakini bahati mbaya akasababisha kifo kwa mume wake

katika video hiyo inamwonesha mwanamke huyo akiwa amekamata bunduki na mwanaume ameziba kifua chake kwa kitabu

mwanamke huyo alisema hakuzani kama risasi itapita kwenye kitabu na kumuua mumuwe kwa kuwa hawezi kupanga kumuua kwa kuwa anampenda sana


Post a Comment

Previous Post Next Post