ALICHOSEMA MLISHO GAMBO KWA WAPINZANI

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mlisho gambo amesema wapinzani wa tanzania hawana malengo

Gambo amesema wapinzani nchini tanzania wasipo niangaria upinzani utakufa kwa kuwa raisi kasha fanya kazi ambayo walitakiwa kuifanya wao kama wapinzani

amesema saivi wapinzani wamekuwa ni wapingaji wa kilakitu na hakuna jema kwao amesema mh raisi kajitorea kuwa tumikia watanzania na wamuache afanye kazi yake kumpinga ni kukwamisha maendeleo

gambo amesema mtu yoyote atakeae jaribu kuziludisha nyuma jitihada za mh raisi za kuleta maendeleo nchini mtu huyo atadiri nae ili asije kuwa kikwazo cha maendeleo yanayo kusudiwa na raisi..


Post a Comment

Previous Post Next Post