CHRISS BROWN AZICHAPA NA MIGOS

Juzi katika usiku wa tuzo za BET msanii chrissbrown alizichapa na migos kavu kavu

kwa mujibu wa stori chriss alikuwa na washikaji zake backstage ghafla alipowaona migos wanakuja chriss akaamua kuondoka


kipindi anaondoka mmoja wa mpanbe wa chriss alipigana kikumbo na mmoja wa jamaa wa migoss ndipo ugomvu ulipoanzia

ila wengi wanazani chanzo ni EX wa chriss ambae anatoka na mmoja wa migos ambae kitambo alikuwa rafiki wa karibu wa chrissbrown na chriss bado anampenda mpenzi wake huyo wa zamani


Post a Comment

Previous Post Next Post