ripoti mpya imesibitisha kuwa alshabaab wamekuwa wakiwateka mabinti na kuwatumikisha kingono
miongoni mwa wasichana hao amesema amekuwa akifanya mapenzi na wanaume wawili mpaka watatu kwa wakati mmoja
amesema hajui ata idadi yao.maana ni wengi na alifanyishwa kwa lazma
alisema wanaume hao hulipa pesa kwa alshababu na yeye hapewi chochote zaidi tu ya chakula ambacho pia hapati kwa wakati
miongoni mwa wasichana hao amesema amekuwa akifanya mapenzi na wanaume wawili mpaka watatu kwa wakati mmoja
amesema hajui ata idadi yao.maana ni wengi na alifanyishwa kwa lazma
alisema wanaume hao hulipa pesa kwa alshababu na yeye hapewi chochote zaidi tu ya chakula ambacho pia hapati kwa wakati
Tags
Kimataifa
