mwamke raia wa india ambae alilazimishwa kuorewa india awasili.nyumbani kwao india mapema leo
mwanamke huyo ambae alilazimishwa kuolewa na mume mpakistani anasema aliteswa saana na mwanaume huyo ambae alimtisha kwa bunduki endapo angekataa
kurudi kwake nyumbani kumemuja baada ya kushinda kesi.mahakamani huku mwanamume huyo akikanusha tuhuma na kusema ni uongo mtupu
mwanamke huyo amerudi baada ya kupata msaada kutoka ubarozi wa india nchini pakistani
mwanamke huyo ambae alilazimishwa kuolewa na mume mpakistani anasema aliteswa saana na mwanaume huyo ambae alimtisha kwa bunduki endapo angekataa
kurudi kwake nyumbani kumemuja baada ya kushinda kesi.mahakamani huku mwanamume huyo akikanusha tuhuma na kusema ni uongo mtupu
mwanamke huyo amerudi baada ya kupata msaada kutoka ubarozi wa india nchini pakistani
Tags
Kimataifa
