kufuatia mapigano yanayo endelea sudani ya kusini maelfu ya wanawake wamekimbia kutoka sudani kusini
kwa mijibu wa shilika la msaraba mwekundu wanawake zaidi ya laki nne wamevuka mpaka na kuingia sudani tangu mwakajana
pia majeshi ya sudani kusini yamekuwa yakituhumiwa kwa ubakaji ,mauaji na mateso dhidi ya raia nchini humo
wengi wa wanawake hao wapo kwenye makambi maeneo ya darfur na mashariki mwa sudani
vita ivyo ambavyo vinataka kuwa kuja kma mauaji ya kimbali vimesababisha watu wengi kukimbia na uchumi kushuka
kwa mijibu wa shilika la msaraba mwekundu wanawake zaidi ya laki nne wamevuka mpaka na kuingia sudani tangu mwakajana
pia majeshi ya sudani kusini yamekuwa yakituhumiwa kwa ubakaji ,mauaji na mateso dhidi ya raia nchini humo
wengi wa wanawake hao wapo kwenye makambi maeneo ya darfur na mashariki mwa sudani
vita ivyo ambavyo vinataka kuwa kuja kma mauaji ya kimbali vimesababisha watu wengi kukimbia na uchumi kushuka
Tags
Kimataifa
