wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja wakamatwa urusi

polisi nchini urusi yawashikilia watu kadhaa ambao ni.wana harakati wa mapenzi ya jinsia moja nchini urusi ambao walikuwa wanaelekea kwa mwana sheria mkuu

wana harakati hao ambao mmoja ni raia wa italia walikamatwa na polisi huku pisi wakitoa ufafanuzi kuwa wamewakamata kwakuwa shughuli yao haikuwa lasmi

wanaharakati hao waliandamana ili kushinikiza wenzao walio wekwa kizuizini kuachiwa wakidai wamekuwa wakiteswa na polisi


Post a Comment

Previous Post Next Post