kaburi la mtoto wa faraho lagundulika

wagunduzi wa mambo ya kale nchini.misri wamegundua kaburi la binti wa faraho ambalo lina miaka isiyo pungua 3700 nchini misri karibu na piramidi zingine katika eneo la kifalme la dahshur kusini mwa kairo

pia katika kaburi wamekuta masanduku ambayo ndani yake yana nguo za thamani zilizo kuwa zina tumiwa.na binti huyo wakati wa uhai wake

ambapo piramidi aliyo kutwa mwili huo ina urefu wa mita zaidi ya miatano ambapo wachunguzi hao wamegundua makaburi mengine pia katika eneo hilo


Post a Comment

Previous Post Next Post