HomeKimataifa ajari yaua 19 nakuru kenya byAdmin -May 13, 2017 0 msemaji wa polisi amesibitishs kutokea kwa ajari katika mji wa nakuru nchini kenya ambapo watu.19 wamepoteza maisha ajari hiyo imetokea katika barabara ya kuelekea nairobi ambapo.basi la abiria limegongana na roli uso kwa uso Tags Kimataifa Facebook Twitter