baada ya kuwasilisha ripoti ya tume ya uchunguzi wa madini leo.mjini dar es salaam mh raisi ameivunja kamati hiyo
mh rais amesema kazi waliyo tumwa wameimaliza hivyo basi anaivunja rasmi tume hiyi ili wakaendelee na kazi zingine
mh rais amesema kazi waliyo tumwa wameimaliza hivyo basi anaivunja rasmi tume hiyi ili wakaendelee na kazi zingine
Tags
Kitaifa
