rais ametoa sababu iliyo pelekea kumfuta kazi aliyekuwa katibu mkuu nishati na madini.pr ntalikwa
raisi amesema alimfukuza kazi kwakuwa akidanganya kiasi cha madini kilichopo wakati akitoa taarifa yake bungeni mjini dodoma
kufutwa kazi kwake kulikuja punde tuu baada ya raisi kufanya ziara ya kushtukiza bandarini na kugundua makontena mengi yenye mchanga wa madini
raisi amesema alimfukuza kazi kwakuwa akidanganya kiasi cha madini kilichopo wakati akitoa taarifa yake bungeni mjini dodoma
kufutwa kazi kwake kulikuja punde tuu baada ya raisi kufanya ziara ya kushtukiza bandarini na kugundua makontena mengi yenye mchanga wa madini
Tags
Kitaifa
