polisi nchini uingereza ya mkamata mtu wa kumi.akihusishwa na shambulizi
mjini hapa polisi bado ipo kwenye msako mkali kuwakamata woote walio husika katika shambulio la bomu majuzi
alieshikwa ana mahusiano na aliye fanya ulipuaji huku watu wawili wakiwa wameachiwa huru
polisi ipo kwenye ulinzi mkali kwakuwa inasemekana linaweza fanyika shambulio jingine
mjini hapa polisi bado ipo kwenye msako mkali kuwakamata woote walio husika katika shambulio la bomu majuzi
alieshikwa ana mahusiano na aliye fanya ulipuaji huku watu wawili wakiwa wameachiwa huru
polisi ipo kwenye ulinzi mkali kwakuwa inasemekana linaweza fanyika shambulio jingine
Tags
Kimataifa
