njiwa akamatwa na mihadarati nchini kuwaiti
njiwa huyo alikamatwa na maafisa wa forodha katika mpaka na iraq akijaribu kuingia kuwait
maafisa wamesema waranguzi wa madawa ya.kulevya nchini humo hutumia njiwa kusafilisha madawa kwa mara nyingi
mpaka sasa wenye madawa hayo hawaja gundulika na polisi wanaendelea na upelelezi kutambua ni akina nani walio mtuma njiwa huyo
njiwa huyo alikamatwa na maafisa wa forodha katika mpaka na iraq akijaribu kuingia kuwait
maafisa wamesema waranguzi wa madawa ya.kulevya nchini humo hutumia njiwa kusafilisha madawa kwa mara nyingi
mpaka sasa wenye madawa hayo hawaja gundulika na polisi wanaendelea na upelelezi kutambua ni akina nani walio mtuma njiwa huyo
Tags
Entertaiment
